Fiston Mayele Awaaga Pyramids, Kutimkia Timu Hii ya Kocha Nabi
Fiston Mayele Awaaga Pyramids, Kutimkia Timu Hii ya Kocha Nabi Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Congo Dr Fiston Mayele amewaaga mashabiki wa prymid baada ya kuhudumu miaka miwili Fiston…
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Mguto Ajiuzulu, Kasongo Asimamishwa Kazi
Kupitia taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeelezwa kuwa Rais wa TFF Wallace Karia amemsimamisha kazi Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Almasi…
Bafana Bafana na Angola Watinga Fainali COSAFA 2025
Timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana imetinga fainali ya kombe la COSAFA 2025 kufuatia ushindi wa 3-1 dhidi ya Comoros kwenye nusu fainali. Bafana Bafana itachuana na Angola…
Wallace Karia Amshtaki Haji Manara Kwa Kumchafua, Aitwa Polisi
RAIS wa Shirikisho la Soka Nchini Tanzania (TFF), Wallace Karia, amemshitaki Mwanachama wa Yanga SC. Haji Sunday Manara kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbalimbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya…
Simba Waruhusiwa Kufanya Mazoezi Kwa Mkapa Siku Moja Kabla ya Dabi
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imethibitisha kuipatia Klabu ya Simba Sports Club ruhusa rasmi ya kufanya mazoezi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, siku ya…
Simba Wako Tayari Kwa Mchezo wa Dabi Jumapili…
” …Yeah Maandalizi yanaendelea vizuri kuelekea mchezo wetu wa Jumapili na kikubwa kabisa ni kwamba…kuna baadhi ya wachezaji ambao walikuwa na changamoto ndogo…Kama mtakumbuka mchezo wetu wa mwisho dhidi ya…
Mchambuzi Hans: Yanga Walipwe Madeni Yao na TFF/CRDB Hawana Shida na Yanga, Shida Ipo TFF
Mchambuzi Hans: Yanga Walipwe Madeni Yao na TFF/CRDB Hawana Shida na Yanga, Shida Ipo TFF
Huu Ndio Mchanganuo wa Udhamini wa CRDB Kombe la Shirikisho
Huu Ndio Mchanganuo wa Udhamini wa CRDB Kombe la Shirikisho Michuano ya shirikisho ilirejeshwa 2015-2016 baada ya kusimama tangu 2002 na Azam Media ndio iliyokuwa ikiidhamini na bingwa alikuwa akipewa…
Simba Watoa Msimamo, Tutashiriki Dabi Tarehe 15, Zaidi ya Hapo Hatuchezi
Klabu ya Simba imetoa taarifa rasmi ikieleza kuwa itashiriki mchezo wa Ligi Kuu namba 184 dhidi ya Yanga Sc kama ulivyopangwa kufanyika siku ya Jumapili, tarehe 15 Juni 2025. Klabu…
Edo Kumwembe: Nilimsifia Chasambi ila Nimeangukia Pua
Edo Kumwembe: Nilimsifia Chasambi ila Nimeangukia Pua Nilijigamba sana mwanzoni mwa msimu kwamba huenda Ladaki Chasambi na Edwin Balua wangekuwa moto katika safu ya ushambuliaji ya Simba. Kumbe nilikuwa najidanganya…