Wed. Nov 5th, 2025

Timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana imetinga fainali ya kombe la COSAFA 2025 kufuatia ushindi wa 3-1 dhidi ya Comoros kwenye nusu fainali.

Bafana Bafana itachuana na Angola ambayo pia imetinga fainali baada ya kuilaza Madagascar kwa jumla ya magoli 4-1. Comoro itachuana na Madagascar kutafuta mshindi wa tatu.

FT: Afrika Kusini πŸ‡ΏπŸ‡¦ 3-1 πŸ‡°πŸ‡² Comoro
⚽ 07’ Mohamed (og)
⚽ 14’ Radiopane
⚽ 59’ Sebelebele
⚽ 29’ Madi

FAINALI: Juni 25, 2025

16:00 Angola πŸ‡¦πŸ‡΄ vs πŸ‡ΏπŸ‡¦ Afrika Kusini

MSHINDI WA TATU
13:00 Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬ vs πŸ‡°πŸ‡² Comoros

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *