Bafana Bafana na Angola Watinga Fainali COSAFA 2025
Timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana imetinga fainali ya kombe la COSAFA 2025 kufuatia ushindi wa 3-1 dhidi ya Comoros kwenye nusu fainali.
Bafana Bafana itachuana na Angola ambayo pia imetinga fainali baada ya kuilaza Madagascar kwa jumla ya magoli 4-1. Comoro itachuana na Madagascar kutafuta mshindi wa tatu.
FT: Afrika Kusini 🇿🇦 3-1 🇰🇲 Comoro
⚽ 07’ Mohamed (og)
⚽ 14’ Radiopane
⚽ 59’ Sebelebele
⚽ 29’ Madi
FAINALI: Juni 25, 2025
16:00 Angola 🇦🇴 vs 🇿🇦 Afrika Kusini
MSHINDI WA TATU
13:00 Madagascar 🇲🇬 vs 🇰🇲 Comoros
