Where Are You Madam Babra Gonzalez?, Simba Wanahitaji Mtu Mwenye Maono na Mikakati Mizuri
Miongoni mwa viongozi ambao wanaweza kuchuana aghalau na Rais wa Yanga @caamil_88 ni huyu madam CEO wa zaman wa club ya Simba @bvrbvra ni mwanamke pekee ambae ukimleta pale Simba atawashinda maono wanaume wengi waliokuwepo pale kwasasa
Mpira unahitaji viongozi wenye maono na mikakati kama ilivyo kwa Rais wa Yanga na Simba wanahitaji mtu makini Ambae atakuwa na misimamo yenye tija kwa Klabu
Soka la Tanzania Kwa sasa limepiga hatua kubwa sana halihitaji viongozi uchwala wala viongozi wanaojua sana ushirikina
Where are you Madam Babra Gonzalez Babra Gonzalez?