Fei Toto Ameichagua Yanga…
Mchambuzi wa soka Hans Rafael kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ✍🏿 “Jambo limeisha,wakubwa wamepita nae,kijana ameichagua Yanga na amesinya jana,msimu ujao ni assist na magoli ya kutosha…..tukutane wiki ijayo.…
Mchambuzi wa soka Hans Rafael kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ✍🏿 “Jambo limeisha,wakubwa wamepita nae,kijana ameichagua Yanga na amesinya jana,msimu ujao ni assist na magoli ya kutosha…..tukutane wiki ijayo.…
Tangu mara ya mwisho Kipre Tchetche kuchukua kiatu cha ufungaji bora 2012/13 Azam Fc haijawahi kutoa mfungaji bora tena kwa zaidi ya miaka 10 mpaka sasa. Ni feisal pekee aliyefukuzana…
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yacouba Songne amesema amepeleka malalamiko Fifa, baada ya kutolipwa mshahara wa miezi minne na kutomaliziwa ada ya usajili. Yacouba ambaye…
WAKATI Ligi Kuu ikienda ukingoni. tayari rekodi ya ufungaji wa mabao msimu huu imevunjwa, tofauti na ilivyokuwa kwa msimu uliopita, ambapo hadi sasa yamefungwa jumla ya mabao 544, ikiwa ni…
Prince Dube anashikilia rekodi ya kufunga Hat-trick ya kwanza ya msimu ligi kuu akifunga kwenye mchezo uliochezwa Desemba 19, 2024, Prince Dube alifikisha hat-trick (mabao matatu) na kuisaidia Young Africans…
Mdau wa soka Ally Mayai Tembele ambaye alichukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa shirikisho la soka Nchini (TFF) amesema hata yeye amekosa endorsment hivyo anasubiri mamlaka ziamue. “Nimekosa…
Raisi wa shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania (TFF) Ndugu. Wallace Karia huenda akasalia kama mgombea pekee katika kinyanganyiro cha nafasi ya Urais katika Shirikisho hilo la mpira wa…
Homa ya Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeanza kupamba moto wakati leo ikiwa siku ya mwisho ya kuchukua na kurejesha fomu za kuwania nafasi mbalimbali…
Jean Charles Ahoua Anamaanisha, Awakimbia Mzize na Dube Katika mbio za ufungaji bora, kiungo wa Simba, Jean Charles Ahoua ameendelea kuwakimbia washambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na Prince Dube. Ahoua…
Hii Hapa Safari ya Sowah Kwenda Wananchi Yanga, Mipango Imenyooka Kama Rula JONATHAN Sowah mshambuliaji wa Singida Black Stars anatajwa kuwa kwenye mpango wa kutakiwa na Yanga SC inayonolewa na…