Skip to content
SOKA TANZANIA

SOKA TANZANIA

Sports News From Tanzania

  • HOME
  • Habari za Michezo
  • Vikosi
  • Matokeo
  • Tetesi za Usajili
Habari za Michezo

Rasmi Timu ya Kengold FC Yashuka Darasa Ligi Kuu ya NBC Tanzania

April 22, 2025 Soka Tanzania

Klabu ya Kengold Fc imeshuka daraja rasmi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara kwenda Ligi ya Championship kufuatia kipigo cha 2-1 dhidi ya Wanamangush, Coastal Union katika dimba la…

Habari za Michezo Leicester City

Klabu ya Leicester City ya Ligi Kuu Uingereza Yashuka Daraja Rasmi

April 21, 2025 Soka Tanzania

Klabu ya Leicester City inayonolewa na Ruud Van Nistelrooy imeshuka daraja rasmi kutoka Ligi Kuu England kwenda Ligi ya Championship England kufuatia kipigo cha 1-0 nyumbani dhidi ya Liverpool. Kwa…

Habari za Michezo

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Liverpool na Manchester United zinamuwania winga wa RB Leipzig Xavi Simons

April 21, 2025 Soka Tanzania

Mshambuliaji wa Uholanzi Xavi Simons huenda akaondoka RB Leipzig msimu huu wa joto na klabu hiyo ya Ujerumani italipisha takriban £70m endapo itaamua kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka…

Habari za Michezo

Japo Simba Wameshinda Lakini Sijapenda, Sijaona ile Kasi Waliocheza na AL Masry

April 20, 2025 Soka Tanzania

Kuna muda mpira unabadilika kabisa leo sijaona ile Simba SC iliyocheza na Al Masry pale Benjamin Mkapa..Nini wangefanya ni kupeleka ule moto walioupekeka kwa Al Masry..Tatizo ikawa hakuna ile kasi…

Habari za Michezo Tetesi za Soka Ulaya

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili: Man Utd wanafikiria uhamisho wa Rashford na Watkins

April 20, 2025 Soka Tanzania

Manchester United wanafikiria kuwa na mpango wa kubadilishana wachezaji utakaomhusisha Marcus Rashford na mshambuliaji wa Aston Villa Ollie Watkins, Alexander Isak anatazamiwa kusalia Newcastle United na Manchester City wanapanga kumnunua…

Habari za Michezo Msimamo wa Ligi

Baada ya Ushindi wa 3-0 wa Singida Black Stars Dhidi ya Tabora United Huu Ndio Msimamo wa Ligi Kuu

April 20, 2025 Soka Tanzania

Baada ya ushindi wa kishindo wa mabao 3-0 wa Singida Black Stars dhidi ya Tabora United, mabadiliko makubwa yameshuhudiwa kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mchezo huo uliopigwa kwenye…

Habari za Michezo

Alichokisema Ahmed Ally Baada ya Kushinda Kesi

April 20, 2025 Soka Tanzania

Mara baada ya kushinda kesi yake iliyokuwa kamati ya maadili ya TFF, afisa habari wa klabu ya Simba Sc Ahmed Ally ametoa taarifa nzito ya kijembe na kejeli kwa watani…

Habari Mpya za Simba Habari za Michezo

Simba SC wana ukongwe wenye njaa mpya

April 20, 2025 Soka Tanzania

Kwa upande wa pili kuna Simba SC, klabu yenye misuli ya historia lakini ina moyo wa kisasa. Wanatoka kwenye ushindi wa kihistoria dhidi ya Al Masry, wakipindua meza kutoka 2-0…

Habari za Michezo Kikosi cha Simba KIKOSI cha Simba Vs Stellenbosch

Hiki Hapa KIKOSI cha Simba Vs Stellenbosch Leo Tarehe 20 April 2025

April 20, 2025 Soka Tanzania

Hiki Hapa KIKOSI cha Simba Vs Stellenbosch Leo Tarehe 20 April 2025 Aprili 20, Simba itakuwa mwenyeji wa Stellenbosch katika mechi ya Mchujo ya Kombe la Shirikisho. Mechi hiyo inatarajiwa…

Habari za Michezo Matokeo ya Simba

Haya Hapa MATOKEO ya Simba Vs Stellenbosch Leo Tarehe 20 April 2025

April 20, 2025 Soka Tanzania

Haya Hapa MATOKEO ya Simba Vs Stellenbosch Leo Tarehe 20 April 2025 Aprili 20, Simba itakuwa mwenyeji wa Stellenbosch katika mechi ya Mchujo ya Kombe la Shirikisho. Mechi hiyo inatarajiwa…

Posts pagination

1 … 17 18 19 … 294

Most Viewed Posts

  • Eng Hersi wa Yanga Aandikwa na Jarida Maarufu la African Learders
  • Rasmi Yanga wameachana na mbio za kumsaini Jean-Florent Ikwange Ibengé
  • Wasimamizi wa Fei Toto Wanapitia Offer za Yanga na Simba, Azam Watoa Offer Nzito
  • Mchezaji Aziz K Hana Baya, Aitabiria Simba Kuchukua Ubingwa Mwaka Huu
  • Rhulani Mokwena anaongoza orodha ya Makocha Wanao Windwa na Yanga

You missed

Habari za Michezo Magazeti ya Michezo

Aishi Manula Ndio Kipa Aliyeruhusu Magoli Mengi

June 7, 2025 SokaTanzania
Habari za Michezo Uncategorized

Tabwe: Singida Black Stars Itatwaa Ubingwa Msimu Huu

June 7, 2025 SokaTanzania
Uncategorized

Msimamo wa Yanga Endapo Itanyanganywa Pointi 15 Kwa Sababu ya Dabi ya Kariakoo

June 6, 2025 SokaTanzania
Habari za Michezo

Waarabu Waitibulia Yanga Dili la Mashine Hii ya Kumwaga Maji

June 5, 2025 SokaTanzania
SOKA TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.