SIMBA Yalamba Dili la Bilioni 38 Utengenezaji wa Jezi zake
SIMBA Yalamba Dili la Bilioni 38 Utengenezaji wa Jezi zake Kampuni ya JAYRUTTY imeshinda tenda ya zabuni ya utengenezaji na usambazaji wa jezi za Simba SC ambapo klabu hiyo imesaini…
Sports News From Tanzania
SIMBA Yalamba Dili la Bilioni 38 Utengenezaji wa Jezi zake Kampuni ya JAYRUTTY imeshinda tenda ya zabuni ya utengenezaji na usambazaji wa jezi za Simba SC ambapo klabu hiyo imesaini…
VITA mpya kwa Simba na Yanga ni namna zinavyopambana kuonyeshana jeuri ya fedha, kumshawishi kiungo wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’, zikimtengea mamilioni ya kufuru kwa ofa tofauti lakini pia…
Wananchi, Young Africans Sc wameifuata JKT Tanzania kwenye nusu fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) kufuatia ushindi mnono wa 8-1 dhidi ya Stand United katika dimba la…
Klabu ya Simba Sc imetangaza rasmi viingilio kwa ajili mchezo wao wa mkondo wa kwanza wa hatua ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) utakaopigwa Aprili 20, 2025…
EDO KUMWEMBE🎙FEISAL ATAFIKA AKIWA HOI SAANA 💬 Na kama kuna mwanadamu ambaye atakuwa analala hoi basi ni Feisal Salum, ‘Fei Toto’. Namna ambavyo siku yake nzima inaambatana na mambo mawili.…
Kikosi cha Simba SC kitacheza dhidi ya Singida Black Stars hatua ya nusu fainali ya Kombe la CRDB kati ya Mei 16-17. Singida BS imeshinda mabao 2-0 dhidi ya Kagera…
Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wameisukumiza Mbeya City nje ya michuano ya kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) na kutinga nusu fainali kufuatia ushindi wa 3-1 katika dimba KMC…
🔴 #LIVE:SPORTS ARENA NDANI YA WASAFI FM 14/04/2025
MICHEZO:Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ imepangwa kundi A katika fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri huo (AFCON U20) 2025…
RAIS wa Klabu ya Yanga Sc na Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika , ya kuthamini mchango wake wa kuunganisha Vilabu vya Soka Afrika. Tuzo hii imetolewa kwenye mkutano wa…