Simba Kucheza Nusu Fainali ya Kwanza CAF Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar
Kikosi cha Simba kitautumia uwanja wa New Amaan Complex uliopo visiwani Zanzibar kwenye mchezo wake wa nyumbani wa nusu fainali ya Kombe la shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya Stellenbosch FC…