Skip to content
SOKA TANZANIA

SOKA TANZANIA

Sports News From Tanzania

  • HOME
  • Habari za Michezo
  • Vikosi
  • Matokeo
  • Tetesi za Usajili
Habari za Michezo

Yanga Yatoa Tamka Tuhuma za Rushwa Ligi Kuu

April 23, 2025 Soka Tanzania

Baada ya tetesi kuenea mitandaoni kuhusu tuhuma za upangaji matokeo katika mechi kati ya Yanga SC na Fountain Gate, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe, amezungumza…

Habari za Michezo

Hii Inafikirisha, Manula si Sehemu ya Kikosi Kinachoenda South Afrika

April 23, 2025 Soka Tanzania

Aishi Manula si sehemu ya Kikosi cha wachezaji 23 ambao wataondoka kesho kuelekea Afrika Kusini Badala yake Mussa Camara, Ali Salimu, Hussen Abel ndiyo magolikipa watakao safiri na timu kuelekea…

Habari za Michezo

Simba Kumewaka, Kipré Junior In, Joshua Mutale Out

April 23, 2025 Soka Tanzania

Wekundu wa Msimbazi Simba, imewekeza nguvu zaidi kwa kiungo wa kimataifa kutoka Ivory Coast Kipré Tiagori Emmanuel Junior Zunon (25) kwaajili ya kumpata msimu ujao. Kipre ambaye alijiunga na MC…

Habari za Michezo

Kisa Ahoua Kukosa Goli Juzi Mbele ya Wasauzi, Mo Dewji Atoa Kauli Hii Simba

April 23, 2025 Soka Tanzania

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji, amewataka mashabiki wa timu hiyo kusitisha lawama kwa wachezaji na badala yake kuwaunga mkono katika…

Habari za Michezo

Kuhusu Ubingwa wa Ligi Msimu Huu, Ali Kamwe Awapiga STOP Mashabiki Yanga

April 23, 2025 Soka Tanzania

OFISA Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, ameonya mashabiki wa timu hiyo dhidi ya kushangilia mapema ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, akisema kuwa bado kuna kibarua kigumu katika…

Habari za Michezo

🔴 #LIVE;SPORTS ARENA NDANI YA WASAFI FM 23/04/2025

April 23, 2025 Soka Tanzania

🔴 #LIVE;SPORTS ARENA NDANI YA WASAFI FM 23/04/2025

Habari za Michezo

Simba SC Yaanza Kupokea Vijembe Kutoka Stellenbosch, Wakae Kiaskari

April 23, 2025 Soka Tanzania

Kuelekea mchezo wa marudiano wa CAFCC dhidi ya Simba SC, klabu ya Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini imeonyesha uhakika wa kushunda mchezo na hamasa kubwa mashabiki na wachezaji. Kupitia ujumbe…

Habari za Michezo

FISTON MAYELE Aliomba Alipwe Mshahara wa Bilioni 2.6 Kaizer Chiefs

April 22, 2025 Soka Tanzania

FISTON MAYELE aliomba alipwe mshahara wa dola milioni 1 sawa na Kwa mwaka ili ajiunge na klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini mwaka 2024. Mayele ambae tangu amejiunga na…

Habari za Michezo

Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Man Utd wanamtazama Costa kuchukua nafasi ya Onana

April 22, 2025 Soka Tanzania

Manchester United imetuma wapelelezi kumtazama mlinda lango wa Porto na Ureno, Diogo Costa, mwenye umri wa miaka 25, kama sehemu ya juhudi za kutafuta mbadala wa Andre Onana. Manchester City…

Habari za Michezo

Kocha Fadlu Alivunja Sheria Kutokumtoa Ahoua Baada ya Kuomba Kutoka

April 22, 2025 Soka Tanzania

Wadau mbalimbali wa mpira wa miguu nchini Tanzania wameonesha hali ya wasiwasi kwa Kocha mkuu wa Simba SC kutokana na uamuzi wake alioufanya hivi karibuni, katika mechi yao ya kimataifa…

Posts pagination

1 … 16 17 18 … 294

Most Viewed Posts

  • Eng Hersi wa Yanga Aandikwa na Jarida Maarufu la African Learders
  • Rasmi Yanga wameachana na mbio za kumsaini Jean-Florent Ikwange Ibengé
  • Wasimamizi wa Fei Toto Wanapitia Offer za Yanga na Simba, Azam Watoa Offer Nzito
  • Mchezaji Aziz K Hana Baya, Aitabiria Simba Kuchukua Ubingwa Mwaka Huu
  • Rhulani Mokwena anaongoza orodha ya Makocha Wanao Windwa na Yanga

You missed

Habari za Michezo Magazeti ya Michezo

Aishi Manula Ndio Kipa Aliyeruhusu Magoli Mengi

June 7, 2025 SokaTanzania
Habari za Michezo Uncategorized

Tabwe: Singida Black Stars Itatwaa Ubingwa Msimu Huu

June 7, 2025 SokaTanzania
Uncategorized

Msimamo wa Yanga Endapo Itanyanganywa Pointi 15 Kwa Sababu ya Dabi ya Kariakoo

June 6, 2025 SokaTanzania
Habari za Michezo

Waarabu Waitibulia Yanga Dili la Mashine Hii ya Kumwaga Maji

June 5, 2025 SokaTanzania
SOKA TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.