Ali Kamwe: Tutacheza Dabi Endapo Simba Itasema Kwanini ilikimbia Mechi Machi 8
Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, amesema kuwa wao ni waungwana na wako tayari kucheza Dabi ya Kariakoo endapo watapewa maelezo ya kina kuhusu sababu za kuahirishwa kwa…