Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuizawadia Simba SC Sh279 milioni endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa CAFCC
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba, Dola za Marekani 100, 000 (Sh279 milioni) endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa wa…
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi: Al Hilal wanakaribia kutoa ofa ya pauni milioni 100 kwa Fernandes
Nahodha wa Manchester United Bruno Fernandes atapewa muda hadi wiki ijayo kuamua kama anataka kuondoka katika klabu hiyo, huku Al Hilal wakipanga kutoa takriban £100m kwa mchezaji huyo wa kimataifa…
Simba SC inafahamu la kufanya ili ‘kupindua meza’
Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amesema wachezaji na jopo la ufundi wanafahamu fika wanachopaswa kukifanya katika mchezo wa marejeano wa fainali ya Kombe la Shrikisho Afrika ili kubadili…
Ndugu wa Mchezaji Victor Osimhen Wadai Kutelekezwa na Mchezaji Huyo
Ndugu wa Mchezaji Victor Osimhen Wadai Kutelekezwa na Mchezaji Huyo Familia ya mchezaji wa klabu ya Napoli ambaye anaitumikia Galatasaray kwa mkopo Victor Osimhen 🇳🇬 analalamikiwa na ndugu zake kwa…
Benard Morrison Ahairisha Sherehe ya Birthday Yake Akisubiri Ubingwa wa Simba
Benard Morrison Ahairisha Sherehe ya Birthday Yake Akisubiri Ubingwa wa Simba Aliyekuwa mchezaji nyota wa Simba SC, Benard Morrison, ameweka wazi uamuzi wake wa kipekee wa kuahirisha sherehe zake za…
Feisal Salum Anarejea Yanga Kama Mbadala wa Aziz K
Inaripotiwa kuwa @feisal194 amekubali kurejea klabu ya @yangasc kama mbadala wa Aziz Ki ambaye anatimkia @wacofficiel suala hili linakuja kutokana na makubaliano ya kimkataba waliyoingia @azamfcofficial na @yangasc wakati wa…
Timu Kubwa Kama Simba Haiwezi Bishana na Mamlaka za Soka
Timu Kubwa Kama Simba Haiwezi Bishana na Mamlaka za Soka Taarifa imenyooka kama tishu, ingekua wale sasa ungesikia ‘HATUCHEZI NG’O’ Uzuri Uhakika umepatikana wa game kuchezwa Zanzibar, Simba wanajua namna…
Simba Wakubali Yaishe, Yathibitisha Fainali Shirikisho Itachezwa Aman Complex
Simba Wakubali Yaishe, Yathibitisha Fainali Shirikisho Itachezwa Aman Complex EditHatimaye Simba Wakubali Yaishe, Yathibitisha Fainali Shirikisho Itachezwa Aman ComplexTimu ya SimbaTimu ya SimbaHatimaye Simba Wakubali Yaishe, Yathibitisha Fainali Shirikisho Itachezwa…
Aziz Ki Apewa Heshima Maalum Kabla ya Kuagana na Yanga – Aahidi Haya
Aziz Ki Apewa Heshima Maalum Kabla ya Kuagana na Yanga – Aahidi Haya Leo imekuwa siku ya hisia kali kwa mashabiki wa Yanga SC baada ya nyota wao mahiri Stephane…
Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Tamko Baada ya CAF Kuufungia Uwanja wa Benjamini Mkapa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa tamko rasmi kufuatia hatua ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kuufungia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa kutotumika katika…