Yanga Yamfunga Mtu 5G, Clatous Chama Katupia Mawili……

Yanga Yamfunga Mtu 5G,  Clatous Chama Katupia Mawili......

Timu ya #Yanga imeendelea kujiweka katika nafasi nzuri ya kutetea taji la Ligi Kuu Bara, baada ya kuichapa Mashuja FC Magoli 5-0 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, hivyo kufikisha alama 55, ikibaki kileleni katika msimamo kwa kucheza Michezo 21

Wafungaji wa Magoli ni Duke Abuya (31), Prince Dube (47), Khalid Aucho (54) na Clatous Chama (73, 83), upande wa Mashujaa FC ambayo ilikuwa nyumbani imesaliwa na pointi 23 katika Michezo 21

Timu inayoshika nafasi ya pili ni #Simba yenye alama 50 katika Michezo 19, ikifuatiwa na #AzamFC yenye pointi 43 katika Michezo 20

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *