Yanga Hawacheki na Wowote, Watapeleka Timu Uwanjani Kama Kawaida Leo

Yanga Hawacheki na Wowote, Watapeleka Timu Uwanjani Kama Kawaida

Leo saa 1:15 usiku Yanga watakuwa Benjamini Mkapa ili kucheza mechi ya Derby.

kwa mujibu wa kanunu za mashindano zikipita dakika 30 bila Simba kutokea Yanga watapewa alama tatu na goli tatu.

Yanga wameamua kuendelea na maandalizi na kesho watakuwa Mkapa Stadium kukipiga na Simba✍️

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *