Wasimamizi wa Fei Toto Wanapitia Offer za Yanga na Simba, Azam Watoa Offer Nzito

Fei toto
Fei toto

So far Fei Toto bado hajasaini mkataba na Simba wala Yanga✍️

Wiki iliyopita Yanga walifanya kikao na famili ya Fei ili kumaliza tofauti zao.

Mpaka sasa Fei ana ofa zote mbili kutoka Simba na Yanga Ila bado hajasaini popote✍️

Wasimamizi wa Fei wanapitia ofa zote mbili ili kufanya maamuzi sahihi mwishoni mwa msimu.

Azam nao wametia ofa nzito ili kumbakisha kijana ingawa ni ngumu sana Fei kubaki Azam.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *