Tupunguze Mdomo Taifa Stars Kwa Kiwango Bado Sana

 

Tupunguze Mdomo Taifa Stars Kwa Kiwango Bado Sana

Ameandika @hamisikabwesports ya kwamba

“Tuwekeze kweli ili tufukie mafanikio,Nyie Endeleeni kutudharau Wachambuzi na kujifanya nyie ndio mnajua kila kitu,Eti kisa ulikuwa mchezaji wa Zamani au umeenda kusoma kozi ya Ukocha kidogo tu.

Yapo mengi Mazuri tunazungumza na kuandika ila mnayaona na kuyachukulia poa.”

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *