Taarifa Mpya Kutoka Bodi ya Ligi Kuhusu Viporo vya Timu ya Yanga

Yanga

Bodi ya Ligi imeupangia tarehe mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya Dodoma Jiji ambao utapigwa baada ya mchezo dhidi ya Malumo Gallants

Mchezo huo utapigwa May 13 katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Yanga inahitaji kushinda mchezo huu ili kutwaa ubingwa wa ligi kuu

Aidha mchezo wa nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) dhidi ya Singida BS utapigwa May 21 katika uwanja wa LITI, Singida

Mchezo huo utapigwa siku nne baada ya mchezo wa mkondo wa pili nusu fainali kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Malumo Gallants

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *