Sijui Mutale Amepatwa na Nini, Muda Mwingi Anapoteza Mipira na Pasi

 

Sijui Mutale Amepatwa na Nini, Muda Mwingi Anapoteza Mipira na Pasi

Sijui Mutale amepatwa na nini?

“Muda mwingi anapoteza mipira,pasi zake nyingi zinakosa njia,miguu yake imekosa magoli na assist.”

.

“Inawezekana anahitaji muda wa kuzoea ligi,ila atambue hii ni Tanzania sehemu ambapo hakuna project za muda mrefu.”

.

“Haraka sana anatakiwa kurudi kwenye uwanja wa mazoezi na kufanyia kazi mapungufu yake….bado Wana-Simba wanamdai sana.”

.

Anasema; Mchambuzi Hans

Show 1 Comment

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *