Sajili Mpya za Ligi Kuu zilizolipa Zaidi Ligi Kuu Bara

Nyota wa Simba Sc Elie Mpanzu kafunga magoli matatu [3] na assist nne [4] kwenye michezo kumi [10] ambayo kacheza akiwa na klabu ya Simba,tafsri yake ni kwamba Mpanzu kahusika kwenye magoli saba [7] kwenye michezo kumi [10].
Elie Mpanzu ni mchezaji wa pili kuwa na takwimu bora zaidi kwa wachezaji ambao waliingia dirisha dogo la usajili hapa Tanzania.
Elie Mpanzu kazidiwa na Jonathan Sowah kutoka Singida Black Stars mwenye magoli saba [7) ambae amejiunga na Singida Black Stars dirisha dogo la usajili,ni dhairi kwamba Jonathan Sowah na Elie Mpanzu sajili zao zimelipa kwenye klabu wanazochezea (HAKUNA HASARA).
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *