Philipe Kinzumbi Bongo Ndo Basi Tena, Asajili Tunisia

Philipe Kinzumbi Bongo Ndo Basi Tena, Asajili Tunisia

Baada ya Utata wa Usajili wa aliyekuwa Mchezaji wa TP Mazembe Philipe Kinzumbi kwenda Club Africain hatimaye jambo limekwisha na rasmi Kinzumbi ni Mchezaji halali wa Club Africain

Kupitia ukurasa rasmi wa Club Africain wamechapisha picha ya Kinzumbi na Kuandika hivi – “Mchezaji Philippe Kinzumbi amefuzu na sasa ni mchezaji halali wa Club Africain”.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *