Skip to content
SOKA TANZANIA

SOKA TANZANIA

Sports News From Tanzania

  • HOME
  • Habari za Michezo
  • Vikosi
  • Matokeo
  • Tetesi za Usajili
CAF Confederation Cup

Joto Zanzibar laitesa Berkane

May 25, 2025 Brian Mtani

WAKATI kikosi cha RS Berkane kutoka Morocco kikijipanga kuivaa Simba SC katika fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika, hali ya hewa ya Zanzibar inaonekana kuwatesa Waarabu hao. Kwa…

Sports News

Nilimpa 13M akadai ndogo,nilitamani kurudisha muamala

May 25, 2025 Brian Mtani

Victor Osimhen anasimulia namna alivyomsaidia rafiki yake wa utotoni kiasi cha pesa lakini hakuonekana kukithamini. Osimhen anasema: “Nilikuwa nikituma pesa kwa rafiki yangu mmoja wa utotoni, lakini siku moja, aliniambia…

World Sports News

Garnacho aambiwa atafute timu ya kuchezea msimu ujao

May 25, 2025 Brian Mtani

Meneja wa Manchester United, Ruben Amorim amewaambia wachezaji wa klabu hiyo kwamba ataendelea kusalia kuwa kocha wa klabu hiyo msimu ujao huku akiripotiwa kumwambia winga Alejandro Garnacho kutafuta klabu nyingine.…

World Sports News

Sunderland yapanda daraja kwenda ligi kuu England

May 25, 2025 Brian Mtani

Klabu ya Sunderland imepanda daraja kwenda Ligi Kuu England msimu ujao wa 2025/26 baada ya miaka 8 kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Sheffield United katika dimba la Wembley kwenye…

Tetesi za Usajili

Diarra awagawa mabosi Yanga

May 25, 2025 Brian Mtani

YANGA inaendelea na mkakati wa kuuza mastaa na sasa staa mwingine ambaye anapasua vichwa vya mabosi ni kipa Djigui Diarra.Taarifa za Diarra ni kwamba ana hesabu za kutaka kuachana na…

Habari za Michezo

Shabiki hivi haviruhusiwi uwanajani leo kwenye fainali CAFCC

May 25, 2025 Brian Mtani

Kwenye mchezo wa fainali Kombe la Shirikisho Afrika Kati Simba na RS Berkane utakaochezwa kwenye uwanja wa Amaan Complex kuanzia saa 10:00 Jioni, Shabiki huruhusiwi kwenda na vitu vyilivyotajwa kwenye…

CAF Confederation Cup

CAF confederation cup final

May 25, 2025 Brian Mtani

NI Jumapili ya kihistoria. Macho na masikio ya Afrika yapo Zanzibar. Baada ya kufungwa mabao 2-0 ugenini, Simba inalazimika kushinda kwa tofauti ya mabao matatu iwapo inataka kutwaa taji hili…

Aziz K

Wydad AC yatambulisha watatu wapya,Aziz ki ndani

May 24, 2025 Brian Mtani

KLABU ya Wydad imewatambulisha nyota watatu wapya, akiwamo aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki waliojiunga na timu hiyo inayojiandaa na Michuano ya Kombe la Dunia kwa Klabu 2025…

Simba

Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuizawadia Simba SC Sh279 milioni endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa CAFCC

May 24, 2025 Brian Mtani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuizawadia Klabu ya Simba, Dola za Marekani 100, 000 (Sh279 milioni) endapo itafanikiwa kutwaa ubingwa wa…

Habari za Michezo

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi: Al Hilal wanakaribia kutoa ofa ya pauni milioni 100 kwa Fernandes

May 24, 2025 Brian Mtani

Nahodha wa Manchester United Bruno Fernandes atapewa muda hadi wiki ijayo kuamua kama anataka kuondoka katika klabu hiyo, huku Al Hilal wakipanga kutoa takriban £100m kwa mchezaji huyo wa kimataifa…

Posts pagination

1 … 3 4 5 … 294

Most Viewed Posts

  • Eng Hersi wa Yanga Aandikwa na Jarida Maarufu la African Learders
  • Rasmi Yanga wameachana na mbio za kumsaini Jean-Florent Ikwange Ibengé
  • Wasimamizi wa Fei Toto Wanapitia Offer za Yanga na Simba, Azam Watoa Offer Nzito
  • Mchezaji Aziz K Hana Baya, Aitabiria Simba Kuchukua Ubingwa Mwaka Huu
  • Rhulani Mokwena anaongoza orodha ya Makocha Wanao Windwa na Yanga

You missed

Uncategorized

Msimamo wa Yanga Endapo Itanyanganywa Pointi 15 Kwa Sababu ya Dabi ya Kariakoo

June 6, 2025 SokaTanzania
Habari za Michezo

Waarabu Waitibulia Yanga Dili la Mashine Hii ya Kumwaga Maji

June 5, 2025 SokaTanzania
Habari za Michezo

Mrith wa Aziz K Yanga Huyu Hapa, Mabosi Waanza Kufanikisha Dili Mapema Sana

June 5, 2025 SokaTanzania
Uncategorized

Deal la Kipa Diarra Kwenda Kaizer Chiefs Laota Mbawa

June 5, 2025 SokaTanzania
SOKA TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.