Juma Mwambusi “Yanga Watumie Busara Wamwachie Kijana Fei Toto”
“Yanga wamuachie tu kijana aondoke. Busara inabidi itumike maana yanga wanafanya vizuri hata bila ya @feisal194, wamuachie aondoke waokoe kipaji chake maana hata taifa linanufaika na kipaji chake” “Busara itumike,…