Mtanzania Asajiliwa FC Nantes ya Ufaransa

Mtanzania Asajiliwa FC Nantes ya Ufaransa

 Mtanzania Asajiliwa FC Nantes ya Ufaransa

Mtanzania Omar Abbas Mvungi aliyekuwa anakipiga MFK Vyskov, amejiunga na FC Nantes ya Ufaransa.

Mvungi aliyekulia kwenye kituo cha Cambiasso anakuwa mchezaji wa Kwanza Mtanzania kucheza League 1, moja ya ligi 5 za Ulaya.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *