December 26, 2025

Morocco Yaiondosha Senegal na Kuifuata Madagascar Fainali CHAN

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.

Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.

FT: Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ 1-1 πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal (P 5-3)
⚽ 23’ Bougrine
⚽ 16’ Samb

MATUTA: πŸ‡²πŸ‡¦ 5-3 πŸ‡ΈπŸ‡³
πŸ‡²πŸ‡¦Morocco βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…
πŸ‡ΈπŸ‡³Senegal βŒβœ…βœ…βœ…

FAINALI
Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬πŸ†š πŸ‡²πŸ‡¦ Morocco

MSHINDI WA TATU
Sudan πŸ‡ΈπŸ‡© πŸ†š πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal