Mnyama, Simba SC Amekubali Kichapo Kitakatifu Kutoka kwa Mafarao

Mnyama, Simba Sc amekubali kichapo cha 2-0 ugenini dhidi ya Al Masry ya Misri kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) katika dimba la Suez Canal, Ismailia, Misri.

Mchezo wa marudiano utakaopigwa Aprili 9, 2025 utaamua timu itakayokata tiketi ya nusu fainali ya CAFCC.

FT: Al Masry ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ 2-0 ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Simba Sc

โšฝ 16โ€™ Deghmoum

โšฝ 90+1โ€™ John

FT: Asec Mimosas ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ 0-1๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ RS Berkane

โšฝ 75โ€™ Riahi

FT: Constantine ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ 1-1 ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ USM Alger

โšฝ 29โ€™ Temine

โšฝ 73โ€™ Mondeko Zatu

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *