Mchezaji Balotelli Kurudi Sirie A

 

Mchezaji Balotelli Kurudi Sirie A

Klabu ya Torino ipo kwenye mpango wa kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Manchester City, AC Milan na timu ya Taifa ya Italia Mario Balotelli.

Balotelli anatarajiwa kuchukua nafasi ya Zapata aliyeumia Enka na anatarajiwa kukaa nje ya uwanja hadi mwishoni mwa msimu huu.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *