Maxi Nzengeli Miwili Tena Jangwani…..

Maxi Nzengeli ataongeza mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kubaki Ndani ya Yanga SC… Uongozi wa YANGA SC umeanza mazungumzo rasmi na timu ya AS Maniema Union ili kukamilisha dili hilo
Japo kiongozi wa timu ya AS Maniema Union Jenerali Kumba amesema mahusiano mazuri kati ya Yanga na timu hiyo ni makubwa hivyo uhakika wa mchezaji huyu kubaki jangwani ni mkubwa
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *