Matola Kurudi Kuwa Kocha Msaidizi wa Simba

Matola Kurudi Kuwa Kocha Msaidizi wa Simba

Wakati simba ikiendelea na Mchakato wa kutafuta Kocha Mpya, Klabu hiyo inatarajia kuendelea kumuacha mchezaji wao wa zamani na kocha wao wa zamani msaidi Seleman Matola kuwa kocha msaidizi wa klabu hiyo.

Ikumbukwe kwa misimu tofauti matola alikuwa kocha msaidizi katika Klabu hiyo na baadaye alipelekwa kwenye timu ya vijana.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *