Mashabiki wa Simba Waipokea Yanga Afrika Kusini

Mashabiki wa Simba Waipokea Yanga Afrika Kusini

Mashabiki wa Simba Waipokea Yanga Afrika Kusini

“Bila sisi wasingefika hapa” maneno ya mashabiki wa Simba SC waishio Afrika Kusini wakizungumza wakati msafara wa Yanga ukiingia nchini humo.

Yanga ipo kwa Madiba kwaajili ya mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali dhidi ya Marumo Gallants.

#YangaSafarini #YangaSC #CAFCC #CAFConfederationCup #KombeLaShirikishoAfrika

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *