Licha ya Kutofunga Magoli, Yanga Yamuheshimisha Prince DUBE, Ashindwe Mwenyewe tu

Kuelekea Mchezo wa kwanza hatua ya makundi CAF Champion League Yanga imempa Mshambuliaji wao Prince DUBE kuwa kama sehemu kubwa ya mchezo huu na kuamua kuita “DUBE DAY”

Kutaka kuwaonyesha Watanzania kuwa Sisi ni kikazi jeuri Yanga Kila Mshabiki wa Yanga akija Uwanjani funga kamba mikononi mwako na ukifika Uwanjani getini zitake hizo kamba kuashiria kuwa Dube amezaliwa upya.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *