Klabu ya Azam FC imethibitisha Kupokea ofa Mbili Kumtaka Prince Dube

Klabu ya Azam FC imethibitisha Kupokea ofa Mbili Kumtaka Prince Dube

 Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea ofa 2 kwa ajili ya Mshambuliaji wao Prince Dube.

Ofa hizo mbili moja inatoka Simba SC ya Tanzania na nyingine inatoka kwa Klabu ya Al Hilal ya Sudan.

Aidha Klabu ya Azam bado inakaribisha ofa zaidi kutoka vilabu mbalimbali ambavyo vimevutiwa na mchezaji huyo.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *