December 26, 2025

Klabu Hizi Zaingia Tatu Bora Tuzo ya Klabu Bora Afrika Tuzo za CAF…Simba Out

0
20251116185717_323326691_8491642640222093505_640_778_85_webp.webp


Klabu ya Simba imeondolewa katika kinyang’anyiro cha kuwania Tuzo ya Klabu Bora Afrika ambapo CAF imetangaza timu tatu zilizoingia fainali ya kuwania tuzo hiyo.

Klabu zilizoingia fainali ni Pyramid(Misri), RS Berkane( Morocco) na Mamelodi Sundown(Afrika Kusini)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *