Kisa kunyimwa penati, Al Ahly wapanga kumshtaki Refa

Kisa kunyimwa penati, Al Ahly wapanga kumshtaki Refa

Tetesi zinadai kuwa Al Ahly wamepanga kuwasilisha malalamiko kwa CAF dhidi ya wanachokiita “upangaji mbaya wa mchezo” kutoka kwa mwamuzi wa Afrika Kusini, Tom Abongile.

Al Ahly wanadai kwamba walipaswa kupewa mikwaju miwili ya penalti usiku wa jana na pia hawakuelewa kwa nini VAR haikumuita mwamuzi huyo kwa ukaguzi kuhusu tukio la Modeste.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *