Huyu Ndio Juma Mgunda, Simba Wanapashwa Wampe Ukocha Mkuu

Huyu Ndio Juma Mgunda, Simba Wanapashwa Wampe Ukocha Mkuu Waachane na Wazungu

Simba SC wameichukua heshima yao kinguvu hii leo , the man behind this mission ni Juma Mgunda ! kipindi chote ambacho Simba inapitia mateso yeye alikuwa Simba hapo hapo lakini hakushika mpini kwa sababu alikuwa upande wa wanawake.
Kuni ya akiba imeivisha ndondo ! Sijui mashabiki wanatamani kusikia nini zaidi ya taarifa kuwa Mgunda amepewa mkataba kama kocha mkuu wa Simba .
FT AZAM 0-3 SIMBA
⚽️ Sadio
⚽️ Ngoma
⚽️ Duchu
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *