EURO2024: Radi yasimamisha mechi ya Ujerumani na Denmark

 

EURO2024: Radi yasimamisha mechi ya Ujerumani na Denmark

Hii ni radi ambayo imepiga muda si mrefu katika uwanja ambao Mechi ya hatua ya 16 bora ya #EURO2024 kati ya Ujerumani dhidi ya Denmark ilikuwa ikiendelea hali iliyosababisha mpira kusimamishwa, na baada ya hali ya hewa kutulia mchezo uliruhusiwa kuendea na hivi sasa ni Mapumziko.

HT: Germany 0-0 Denmark

Hii radi ingetokea bongo pale Lupaso unadhani wabongo wangesemaje?

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *