Azam Wakizubaa Gibrill Silah Anakwenda SIMBA, Waanza Mkakati wa Kumnasa

Azam Wakizubaa Gibrill Silah Anakwenda SIMBA, Waanza Mkakati wa Kumnasa

Inaelezwa kuwa winga wa Azam FC, Gibrill Silah anaelekea kumaliza mkataba wake na wanalambalamba mwishoni wa msimu huu na hakuna makubaliano yoyote yaliyofikiwa baina klabu hiyo na Mgambia huyo.

Taarifa zinaeleza kuwa klabu hiyo ilishamwekea nyota huyo ofa ya mkataba mnono wa miaka miwili lakini nyota huyo hajaonyesha utayari wa kusaini kandarasi hiyo.

Za ndani kabisa ni kuwa Simba SC inaafwatilia Kwa karibu Hali hiyo na wanaweza wakamwekea nyota huyo ofa nono zaidi ya wanalambalamba endapo kocha Fadlu Davids ataruhusu nyota kujiunga na kikosi chake.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *