Azam FC Yapigwa na APR, Yaondolewa Michuano ya CAFCL

 

Azam FC Yapigwa na APR, Yaondolewa Michuano ya CAFCL

Klabu ya Azam FC imetolewa katika Raundi ya awali ya Kufuzu Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/25 mara baada ya kupokea kichapo cha jumla ya mabao 2-1 dhidi ya APR.

FT: APR 2-0 Azam

Aggregate: 2-1.

APR watakutana na kina Klabu ya Pyramids ya nchini Misri hatua inayofuata ya mtoano.

Una lipi la kuwashauri Azam?

#CAFCL

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *