Ahmed Ally “Mashabiki wa Yanga Waje Uwanjani Kwenye Mateso”

Ahmed Ally "Mashabiki wa Yanga Waje Uwanjani Kwenye Mateso"

Ahmed Ally “Mashabiki wa Yanga Waje Uwanjani Kwenye Mateso”

 “Mashabiki wa Simba niwaalike waje uwanjani kuenjoy. Lakini kwa upande wamashabiki wa wapinzani wetu [Yanga] waje kwa wingi kadri wanavyoweza waje kuteseka uwanjani siku hiyo itakuwa ni mateso kwao hakutakuwa na namna yoyote kwao zaidi ya mateso” Amesema @ahmedally_ Afisa Habari na Mawasiliano wa Simba SC.

Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *