February 9, 2026

Kocha wa Yanga Atwaa Tuzo ya Kocha Bora Mwezi January

0
images-2026-02-09T211806.308.jpeg

Kocha wa klabu ya Yanga Pedro Goncalves ametwaa tuzo ya kocha bora katika mwezi Januari baada ya timu yake kupata ushindi wa mechi 2 katika mwezi huo.

Pedro ametwa tuzo hiyo baada ya kuitoa klabu yake kutoka nafasi ya pili hadi juu ya msimamo kwa kuwafunga Dodoma 3-1 pamoja na Mashujaa 6-0.

Aidha pedro amewashinda Juma Mgunda kocha wa Namungo pamoja na Yusuph Chipo wa Mtibwa Sugar aliyoingia nao fainali katika Tuzo hizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *