December 10, 2025

Simba na Azam Waongoza Kutoa Wachezaji Wengi Timu ya Taifa AFCON

0
stars.jpg

Simba na Azam FC ndio klabu zilizotoa wachezaji wengi wanaounda kikosi cha Taifa Stars kitakacho cheza fainali za AFCON 2025 nchini Morocco! Klabu hizo kila moja imetoa wachezaji sita [6].

Yanga inafatia kwa klabu zilizotoa wachezaji wengi wanaounda kikosi cha Stars kitakacho cheza AFCON 2025 ikiwa imetoa wachezaji wanne [4].

Singida Black Stars yenyewe imetoa wachezaji watatu [3] na kukamilisha orodha ya klabu zilizo toa wachezaji zaidi ya mmoja kwenye kikosi cha Taifa Stars kuelekea fainali za AFCON 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *