November 26, 2025

Kiuhalisia Kundi la Simba ni Gumu, Swali ni Simba Anaenda Kushinda Ugenini Kwa Nani?

0
Kwenye-mpira-historia-ni-kitu-cha-muhimu-lakini-sio-possible-kitoke-kila-wakati-.-Nimeona-Simba-.jpg

Kwenye mpira historia ni kitu cha muhimu lakini sio possible kitoke kila wakati . Nimeona Simba wanafananisha kundi lao la msimu huu na lile la mwaka 2023 .

Kipindi kile walipoteza mbele ya Raja AC na Horoya kwenye michezo miwili mfululizo na bado wakapita kwenye kundi Lao .

Nawakumbusha tu!. Msimu ule Simba walivuna Alama 6 kwa Vipers home and Away then mkachukua 3 nyumbani dhidi ya Horoya na mkafuzu hatua ya Robo Fainali .

Doubt ni msimu huu Simba wapo na timu ngumu kidogo !.. Esperance ambayo ni Favorite kwenye kundi hili then Stade Malien hawa majamaa wana project nzuri sana sio Vipers hawa .

Alafu kuna Petro Atletico msimu huu wamerejea kwenye form yao : Hawa majamaa wanaonekana kuwa na nafasi kubwa ya kupita hatua hii + Esperance then kubwa ni Simba kupoteza nyumbani mchezo wa kwanza .

Swali ni Simba anaenda kushinda ugenini kwa nani ? 🤔 Esperance ? Ambaye kadodosha alama 2 nyumbani ? Au Stade Malien aliyemkazia Esperance 😎

Anyway Lunyasi ajipange haswa !.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *