KIBU Denis Hajaitwaa Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania kwa Mara ya Pili Mfululizo

KIBU DENIS Hajaitwaa ktk kikosi cha timu ya taifaa ya TANZANIA kwa maraa ya piliii mfululizooo KIBU DENIS ambae mimi hua namuona kama ni OVERRATED player yaani mchezaji anaepewaa sifaa kubwaa kulikoo uwezo waake alionaoo

KIBU ameichangia SIMBA goli 9 pekee ndani ya misimu miwili iliopitaa ya NBC PREMIER LEAGUE ambaapo msimu wa 23/24 alifunga goli mojaa pekee na kutoaa assist 3 na msimu uliopitaa wa 24/25 alifungaa golii 4 na kutoa assist 1 ndani ya ligi kuu ya NBC takwimu zaake hizii ni ndogoo kulikoo sifaa ambazoo amekua akipewaa

Kiukweliii kuna kipindi amekua haata akiekwaa benchi na MUTALE palee SIMBA na nimefurahiii kuonaa hajaitwaa timuu ya taifaa kwani atajitafakarii zaidii na kujaribuu kuludishaa kiwaango chaake maana saasa anataka kua kama MORRISON yaani kuchezaa vizuuri ni hadi aamue

Sijaseema ni mchezaaji mbaaya hapaana ni mchezaaji mzuuurii ila mnampaa sifaa zilizokubwaa kuliko uweezo waake tunakuombaa ujitafakarii OVARATED PLAYER wa taifaaa pale SIMBA weewe ni moja ya winger tegemeezi saasa ukizinguaa kama MUTALE na ukiangaliaa pia MPANZU naee hajaawa na kiwaango boora saasa weewe Overrated player wa taifaa ukizingua unazaaani SIMBA itafanya vyeema hasa kimataifaa

mfaano hapaaa alivyofunga juuzi kimataifaa anaweeza akachezaa hata mechi 10 au zaidii bilaa kufungaa mwambieeni mchezaaji weeenu ajitafakaaarii bhana mchezaaji ni numbers na sio mbwe mbweee

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *