Aziz K Gari Limewaka Aanza Kutupia Huko Wydad AC

Stephanie Aziz Ki amefunga bao lake la kwanza kwenye Ligi Kuu Nchini Morocco ya Botola Pro na kuisaidia Wydad AC kuibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Hassania Agadir.

Kwa ushindi huo Wydad Casablanca imekwea kileleni mwa msimamo wa Botola Pro wakifikisha alama 17 baada ya mechi 7 na kuiporomosha Raja AC ya Fadlu Davids mpaka nafasi ya tatu, alama 15 baada ya mechi 7.

FT: Hassania Agadir 1-2 Wydad AC
⚽ 18′ Bakhkhach
⚽ 06′ Aziz Ki
⚽ 12′ Lorch

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *