December 19, 2025

Ali Kamwe Awakata Midomo Wanaosema Kocha Folz Anaondoka Yanga

Yanga Ni Team Kubwa Sana Tena Kubwa Mnoo🔰Kamwe Hawezi Fanya Maamuzi Kwa Kukurupuka kisa Mitandaoni Kukojee Big Noooooo❌

Yanga Iko Imara na Inajua Nini Inafanya Na Nin Kifanyike Sio kufata Mitazamo ya Wachambuzi Wa Plastic Na Waandishi Wa Bahasha.

Folz Kocha Mkuu Wa Young Africans

Ali Kamwe