Tue. Nov 4th, 2025
Ahmed Ally Afunguka: Ni Wakati Sahihi Kwa Mohamed Hussein Kuondoka Simba
Ahmed Ally

Kwenye kikao cha kumfukuza Kocha Foili kilichofanyika jana Mbeya kwenye Hoteli iliyopo Mafiati

Kocha kauliza mnanifukuza kwani mimi ndio nimesajili Wastaafu? Wakajibu hapana, akauliza tena mimi ndio nimesajili Streka mechi tatu no on target ? Wakasema hapana

Akauliza tena sasa mimi kosa langu nini? Wakamwambia Mashabiki hawakutaki jiuzulu, akawambia mimi sijaajiriwa na mashabiki nifukuzeni nyie

Sasa ngondo ni kwamba hawataki kumfukuza maana hawawezi kulipa gharama za kuvunja mkataba na Foili hataki kujiuzulu maana atakosa mpunga wake

Sasa wanaishi pamoja lakini hawapendani

Anaandika Ahmed Ally Msemaji wa Klabu ya Simba