Wed. Nov 5th, 2025

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.

Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.

FT: Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ 1-1 πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal (P 5-3)
⚽ 23’ Bougrine
⚽ 16’ Samb

MATUTA: πŸ‡²πŸ‡¦ 5-3 πŸ‡ΈπŸ‡³
πŸ‡²πŸ‡¦Morocco βœ…βœ…βœ…βœ…βœ…
πŸ‡ΈπŸ‡³Senegal βŒβœ…βœ…βœ…

FAINALI
Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬πŸ†š πŸ‡²πŸ‡¦ Morocco

MSHINDI WA TATU
Sudan πŸ‡ΈπŸ‡© πŸ†š πŸ‡ΈπŸ‡³ Senegal