December 20, 2025

Morocco Yaiondosha Senegal na Kuifuata Madagascar Fainali CHAN

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.

Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.

FT: Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ 1-1 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Senegal (P 5-3)
โšฝ 23โ€™ Bougrine
โšฝ 16โ€™ Samb

MATUTA: ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ 5-3 ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆMorocco โœ…โœ…โœ…โœ…โœ…
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณSenegal โŒโœ…โœ…โœ…

FAINALI
Madagascar ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ†š ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Morocco

MSHINDI WA TATU
Sudan ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ ๐Ÿ†š ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Senegal