Morocco Yaiondosha Senegal na Kuifuata Madagascar Fainali CHAN

Mabingwa watetezi wa Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani, Senegal wametupwa nje ya michuano hiyo kufuatia kipigo cha penalti 5-3 dhidi ya Morocco katika katika dimba la Mandela, Kampala.
Simba wa milima ya Atlas, Morocco wametinga fainali ya CHAN2024 ambapo watachuana na Madagascar iliyofikia hatua hiyo baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Sudan. Simba wa Teranga watachuana na Sudan kuwania nafasi ya mshindi wa tatu.
FT: Morocco ๐ฒ๐ฆ 1-1 ๐ธ๐ณ Senegal (P 5-3)
โฝ 23โ Bougrine
โฝ 16โ Samb
MATUTA: ๐ฒ๐ฆ 5-3 ๐ธ๐ณ
๐ฒ๐ฆMorocco โ
โ
โ
โ
โ
๐ธ๐ณSenegal โโ
โ
โ
FAINALI
Madagascar ๐ฒ๐ฌ๐ ๐ฒ๐ฆ Morocco
MSHINDI WA TATU
Sudan ๐ธ๐ฉ ๐ ๐ธ๐ณ Senegal
