Wed. Nov 5th, 2025
Kocha Fadlu
Kocha Fadlu

Kwa mujibu wa taarifa ni kuwa kocha Fadlu amepiga pause baadhi ya sajili kuelekea msimu ujao akiwataka viongozi kutafuta Quality zaidi na kama watakosa basi ndio wachukue hao wa chezaji na miongoni mwa sajili hizo ni pamoja na ya Khadim Diaw na Rodriguez Kossi

Kiungo Rodriguez Kossi anakaribia kujiunga na klabu ya Hassania Union Sport Agadir ya nchini Morocco akiwa mchezaji huru

Beki Khadim Diaw bado anamkataba wa miaka miwili na Al Hilal na hana ofa nyingine kwa sasa tofauti na hiyo ya Simba Sc’