December 19, 2025

Huyu Kocha MPYA wa Yanga ni Balaa, Hugawa Dozi Kulingana na Unavyokuja

Ally Kamwe: Ukipata Picha ya Mpanzu Akifanya Mazoezi Simba Nidai Milioni 10

Ally Kamwe: Ukipata Picha ya Mpanzu Akifanya Mazoezi Simba Nidai Milioni 10

Yanga imemtangaza Romain Folz raia wa Ufaransa kuwa kocha wao Mkuu.

๐Ÿ‘‰ Falsafa yake ya ufundishaji

๐Ÿ—ฃ๏ธ “I don’t believe to say ‘that’s my way i wan’t to play’, if you set with idea/philosophy and you don’t want to adjust it’s wrong”

๐Ÿ—ฃ๏ธ “The way we approach the game is a little bit flexible basically to adapt any kind of opponent”

  • Kwa kutumia quotes hizo alizosema, ni bayana kuwa ni kocha ambaye anategemea zaidi Opponent Analysis
  • Mbinu zake za ufundishaji (Mifumo/miundo, style ya uchezaji na Principles) zinabadilika kulingana hali kama;
  1. Aina ya wapinzani (Opponent Analysis)
  2. Hali ya timu yake kwa wakati husika (Strength & Weakness)
  3. Mazingira kama uwanja, hali ya hewa n.k
  • Anaamini wachezaji wanaocheza sana ‘Show Games’ kama Skudu, Morisson hawapaswi kuzuia kufanya hivyo ila wapewe uhuru kama tu endapo skills zao haziathiri mahitaji ya timu kwa wakati huo

๐Ÿ‘‰ CV yake kwa ufupi

  • 2025 Alikuwa Mkurugenzi wa michezo wa Olympique Akbou ya Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ
  • 2024 Alikuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundown ya South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
  • 2023 Alikuwa kocha mkuu wa Horoya ya Guinea ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ
  • 2022 Alikuwa kocha mkuu wa Amazulu ya South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
  • 2021 Alikuwa kocha Mkuu wa Township Rollers ya Botswana ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ
  • 2019 Alikuwa kocha Msaidizi wa Pyramid ya Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
  • 2018 Alikuwa kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Uganda ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ
  • Huyu kocha ana UEFA Pro Licence na Pro Licence ya CONMEBOL (America).

Let’s Enjoy the game