Wed. Nov 5th, 2025

Soma kwa makini na uelewe kuanzia sasa kwamba.

➡️Feisal Salum hana mpango wa kurejea Yanga SC kwa sasa.

➡️ Taarifa nilizozipata kutoka kwa mmoja wa wana-familia ya Feisal amenidodosa kwamba, hakuna uwezakano huo.

Fei Toto kishafunga ukurasa wake wa maisha ya soka ndani Yanga SC kwa sasa yupo Azam FC na si jangwani tena.

➡️Aidha, ofa zilizofika Azam FC hadi sasa ni kutoka.

°☎️Yanga SC ❌
°☎️Simba SC …..
°☎️Kaizer Chiefs….
°☎️TP Mazembe….

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *