Wed. Nov 5th, 2025

RULANI MOKWENA alihusishwa na klabu tatu baada ya kuondoka Wydad Casablanca ,

Wazee wa Usajili kutoka Bongo na Nje ya Bongo walitoa tetesi hizo . Na Vilabu hivyo ni ,

Orlando Pirates ,

Zamalek Sc,

Yanga Sc .

✅Klabu ya Orlando Pirates wakamtangaza Kocha wao mpya (means dili lilishindikana).

✅Zamalek Sc nao taarifa za kuaminika ni tayr washampata kocha wao mpya (ina maana nao dili limeshindikana )

⏳Kocha wa Yanga Sc Miloud Hamdi ametangazwa na Ismaily kama mkurugenzi wa Ufundi ..

✍🏻Ina maana Kwenye Vilabu vitatu ni Yanga Sc pekee ndo kabaki na uwezekano wa kuwa na Rulani Mokwena kama kocha wao mkuu .

✅Kwa hali halisi ya Ukurasa wa Coach Rulani wa Instagram ni dhahiri yupo tayari kuanza maisha mapya na klabu nyingine ambayo haijulikana mpaka sasa .

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *