Wed. Nov 5th, 2025

Jonathan Ikangalombo Kapela ameondoka Yanga✍️

Baada ya kudumu jangwani kwa miezi sita,hatimae Yanga kuachana na Ikangalombo.

Winga huyo amepafomu chini ya kiwango na Yanga wameamuwa kumpa mkono wa kwa heri🖐️

Rasmi Ikangalombo anakwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *