Mchezaji Aziz K Kuondoka Yanga Mwisho wa Msimu

Taarifa kutoka Kwa watubwa karibu wa kiungo wa Yanga SC, Stephan Aziz Ki zinaeleza kuwa nyota huyo huenda akaondoka viunga vya Jangwani mwishoni mwa msimu huu.
Tetesi zinaeleza kuwa nyota huyo Kwa sasa anataka kwenda kujaribu Changamoto mpya sehemu nyingine tofauti na Tanzania.
Leave a Comment

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *